BABA ALALAMIKA KUHUSIANA NA UTATA WA KIFO CHA MTOTO WAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 апр 2025

Комментарии •

  • @RehemaMustafa-x6o
    @RehemaMustafa-x6o День назад +2

    Jamani mtoto mzuri Damu yake itawalilia Mungu yupo

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 2 дня назад +2

    Mungu awalaani waliousika kumuua mtoto WAMEMUUA KUSUDI,poleni sana wazazi 💔😭😭

  • @ruthnzota3541
    @ruthnzota3541 День назад +2

    Dada Geah sisi wananchi tunakuamini saaana,fuatilia hii kesi utuondolee utata sisi wananzengo,Mtoto anauma jamani 😢😢

  • @NuruZebedayombise
    @NuruZebedayombise День назад +3

    Hao wanajuwa kilicho muuwa mtoto 😢 huyo bibi

  • @Shuu.A
    @Shuu.A 2 дня назад +4

    Katika watu siwaamini tz wa kwanza hawa polisi mbwa wakubwa polisi makatili hawana maanama hata kidogo washenzi tz hakuna sheria wajutiwa ndani wote huyo mtt anokunja nguo na bibi yake wakati mtoto kapatikanwa chumba cha huyo bibi ushahidi gani hapo unaotakiwa washenzi nyie polisi natamani wauliwe polisi pote wa tz sina imani nao lol

  • @FatumaMwage
    @FatumaMwage День назад +2

    stori kama mimi nikisikia.nalia😢😢😢😢 tu sielew dhamila zao jaman

  • @Cutekumbe8
    @Cutekumbe8 2 дня назад +5

    Hapo kuna kitu sio bure, haiwezekani mtu aweke nguo juu ya mtoto asimuone sio kweli huyo mtoto wa miaka 12 aulizwe vizuri atasema ukweli wote

  • @Asha-s9u8p
    @Asha-s9u8p 5 часов назад

    Police wetu wa Tanzania Mungu anawaona

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 20 часов назад

    Bibi na Mjukuu wake Mungu awalaani kwa hiki kitendo mlichofanya. Police nao sijui walipewa hongo ilikuyeyusha kesi

  • @NeemaLucas-x7y
    @NeemaLucas-x7y 19 часов назад

    sema hao wauwaji awakutakiwa kua hai sema raia tunahofu na serikali tu wangeungwa kwenye kipigo mpka kufa😢

  • @PhilkevinFelix
    @PhilkevinFelix 2 дня назад +3

    Kamanda anaamua kupindisha maneno. Hapa yaliyosemwa ni kwamba marehemu alionekana ameshakufa. Sasa Kamanda inamsaidia nini kusema marehemu alifariki akiwa anapatiwa matibabu? Hivi marehemu anapatiwaga matibabu?kutoka lini?

    • @VivianNasari-jq6id
      @VivianNasari-jq6id 2 дня назад

      Nimeshangaa pia lkn wakina mama kaeni na watotowenu

    • @arafawilliam2142
      @arafawilliam2142 День назад +1

      ​@@VivianNasari-jq6id
      Hivi kwa style hio wakina mama watafanya Nini maana mtoto kaachwa ndani tena amelala chumbani,kwa Sasa hata uwe makini vipi imeshakuwa ni mtihani kwa watoto maana wamekuwa walengwa wa kufanyiwa ukatili

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 22 часа назад

    Huyo mjukuu ange banwa kwa kichapo ange ongea ukweli wote mbana lia afande bhana!

  • @MetrineMukhwana-iq3jg
    @MetrineMukhwana-iq3jg День назад

    Mungu atusamehe jameni utu umeenda wapi Kwa wanadamu mungu tusamehe tuhurumie

  • @queenlinda255
    @queenlinda255 2 дня назад +2

    Mtoto mzuri jamani ana umri kama wa mtoto wangu poleni wazazi

  • @tegemeakyangenyenka6111
    @tegemeakyangenyenka6111 День назад

    Aisee,

  • @roselinasandi6509
    @roselinasandi6509 День назад

    Unawez kumwekea mtoto nguo ambaye hajalala afu asilie au kutoa ishara yyt kwamba yupo hapo?

  • @zepinashatibu5149
    @zepinashatibu5149 День назад

    Kwahiyo mtoto alitoka ndani kwao alipo lazwa na kwenda kulala kitandani kwa huyo dada 😢

  • @Jenifajerad
    @Jenifajerad 2 дня назад +2

    Swali sawa akumuona jee mtt anaee tambaa nani alimpeleka chumbani sawa alitambaa akaenda chumbani je nani alimpandisha kitandani sawa alipanda juu ya stuliakajitupa dakika hizohizo kimalaika kikapitiwa nausingizi akati kilitokq kuamka chumbani kwa kaka yake wa miaka 12 akibinywa vizur kucha na maziwa ata sema tu sheziii😢😢😢😢

  • @zepinashatibu5149
    @zepinashatibu5149 День назад

    Azikwi mtoto hapo lazima wanipe mwanangu 😢

  • @rachelmsekena603
    @rachelmsekena603 2 дня назад +1

    Yani kama police wameshindwa kunisaidia mimi ningechukua sheria mkononi,ningemfungia huyo bibi na mjukuu wake ningewapa kipondo mpaka wangesema ukweli

  • @nyangetakaliba8585
    @nyangetakaliba8585 День назад

    Itakuwa huyo mtoto wa bibi alikuja kumchukua.....hao ni wanga wamemtoa mtoto kafala

  • @linahmacha370
    @linahmacha370 2 дня назад +3

    Wakamatwe huyo bibi na mjukukuu wake wajinga wakubwa

  • @karimaSatar
    @karimaSatar День назад

    Kauawa kweli

  • @NaimaidNaimaid
    @NaimaidNaimaid День назад

    Poleni sana

  • @نجاةالعبري
    @نجاةالعبري День назад +1

    Mtt wa miaka 12 ni mtt huyo si wa darasa la 7 u la 6

  • @ROZALIABalige
    @ROZALIABalige День назад

    Ila polisi Tanzania😮 Mungu arusaidie

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 День назад

    😢😢😢

  • @HanifaShabani-dr3dq
    @HanifaShabani-dr3dq День назад

    Mmmmm,naishiwa na maneno

  • @KurthumKhamis
    @KurthumKhamis День назад

    Nimeamin mapolice wanarahama wakistaafu wanapata shida sana

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 День назад

    Huyo mjukuu akipewa soda na biskut ataongea ukweli Hao watu ni wauwaji mkinyamaza atakuja Kufanya tena Kwa mwingine atimize lengo huenda katumwa na mganga

  • @AtukuzweAgnes
    @AtukuzweAgnes День назад

    Pole sana

  • @naomicharles5444
    @naomicharles5444 2 дня назад +1

    Ao polis wafukuzwe

  • @claudiangowi9628
    @claudiangowi9628 2 дня назад +2

    Ningesubiri wamelala nikawachomea ndani wote kumamake

  • @jamilaambrose7152
    @jamilaambrose7152 День назад

    Asa hapo kiandani kapandaje hapo kitandani jmni mbona hivi jmni mbona hivi mtoto mdogo 😢😢😢

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 2 дня назад +1

    Yaani nenden mkapasue chungu,hao mbwa muwakomeshe mashetwani makubwa,yalitaka kumsafirisha yakampike kiuchawi.Police tendeni haki.

  • @NaimaidNaimaid
    @NaimaidNaimaid День назад

    Serikali ichukuwe ili swala sirianzi

  • @obed_artz5418
    @obed_artz5418 День назад

    Kwa maelezo tu unaona tayar police wameamini maneno ya bibi / wauaji na wamewaachia huru dah nchi yangu sjui tunaelekea wapi.

  • @EsterTiffa
    @EsterTiffa 2 дня назад

    Jmniii khaaa. Dunia imebadilik

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 День назад

    HAPO LAZIMA POLICE WAHUSISWE KABISA.

  • @NuruZebedayombise
    @NuruZebedayombise День назад

    Duuuu Mungu tusaidie

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 День назад

    NA SISI WANGONI TULIVYOWACHAWI , TUNAPENDA SANA KUUWANA.😮

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 День назад

    ILIBIDI UANZIE KWA MJUMBE MOJA KABLA YANHOSIPITALI. KAMA ULIONANAMESHAKUFAA BASI BOLA UNGEANZIA KWAMJIMBE.

  • @claudiangowi9628
    @claudiangowi9628 2 дня назад

    Yani police Tanzania ndo maana mnakufa masikini unamuachiaje huru muuaji?

  • @shifaaal-baity4503
    @shifaaal-baity4503 2 дня назад

    😢😢😮😮😮😢😢

  • @woah.africa99
    @woah.africa99 День назад

    Mbona yule mtoto wa jirani alisema anaye dada bibi yake akawa anamtizama anaogopa

  • @SuzanBulima
    @SuzanBulima 2 дня назад +1

    Yaan hapo aliempeka huyo mtoto huko chumban nakumpandisha kitandan ndio wamtafute na kunauwezekana mkubwa huyo mtoto mwenye miaka kumi na mbili hakumuona huyo hapo kitandani, maana kunawatu hawatandikagi vitanda vyao unakuta mishuka imerundikana kitandan miblanket mito, yaan ovyo ovyo stail

    • @marrypius576
      @marrypius576 2 дня назад +1

      Hapan kwakweli na kumkalia juu weee

  • @aishajeanine3552
    @aishajeanine3552 2 дня назад

    Jmn poleni sana uchingu

  • @NuruZebedayombise
    @NuruZebedayombise День назад

    Yani inauma sana kupoteza mtoto

  • @engineerismael2186
    @engineerismael2186 День назад

    Nani amempandisha kitandan na kwann hawakuonyesha ushirikiano kumtafta uyo bib anausika na ilo tukio wakimbana uyo bint atanyoosha maelez

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 День назад

    SASA POLICE WANASEMAJE?

  • @AtukuzweAgnes
    @AtukuzweAgnes День назад

    Jamani kwanini du amefunikwa na nguo du pule sana

  • @NuruZebedayombise
    @NuruZebedayombise День назад

    Wachawi hawa wameloga mpaka police wanashindwa kuwa hukumu

  • @NeemaMasala-o7c
    @NeemaMasala-o7c День назад

    Aisee inauma hao majiran. ndo wamemuua mtoto dah

  • @mamajaphety1624
    @mamajaphety1624 2 дня назад

    Mm ningewatia kibiriti ndani wakiwa wamelala

  • @joycekalago532
    @joycekalago532 2 дня назад +1

    Huko alikofia ni kwa nani? Kwanza tuanzie hapo

    • @marrypius576
      @marrypius576 2 дня назад +1

      Amekutwa kweny chumba cha huy bibi na mjukuu wake ndo alikuwa amemkalia na kumwekea nguo juu

  • @HusnahOmary2025-e9m
    @HusnahOmary2025-e9m 2 дня назад

    au alimnyanyua akamuangusha ndo akafariki

  • @FatmaIssa-c5o
    @FatmaIssa-c5o 2 дня назад

    Wasingepewa dhamana mpaka ukwel ujulikane